Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno akizungumza
kwenye semina ya lugha ya Kifaransa iliyoandaliwa na taasisi ya Kigoma Community
College by Radio.
Kulia ni mkurugenzi wa Taasisi hiyo Deo Baligwegule na
kushoto ni Mwenyekiti wa bodi ya Taasisi hiyo Shekhe Moshi Guoguo
No comments:
Post a Comment