MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amewasilisha hoja binafsi akitaka Serikali ichukue hatua dhidi ya Watanzania walioficha fedha haramu nje ya nchi na kubainisha kiasi cha fedha kilichofichwa huko na miradi iliyohusika kupatikana kwa fedha hizo.
No comments:
Post a Comment