Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya TBL, Fimbo Butallah
akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam jana wakati
wa uzinduzi wa mashindano ya mitumbwi ya Balimi Extra Lager yanayotarajiwa
kuanza Oktoba 20 Kigoma.
Mwingine ni Meneja wa
Bia ya Balimi, Edith Bebwa.
No comments:
Post a Comment