Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma,
Miriam Mbaga akikabidhi cheti cha kimila cha umiliki wa ardhi wa pamoja kwa
Joel Yohana na mke wake, Esnat Joniphas wakati wa maadhimisho ya Siku ya
Mwanamke wa Kijijini yaliyofanyika katika kijiji cha Mkongoro Kigoma Vijijini.
No comments:
Post a Comment