Washiriki wa mafunzo ya siku tisa kuhusu uendeshaji wa vyama
vya akiba na mikopo kwa mafanikio na elimu ya ujasiriamali kwa wajumbe wa vyama
vya akiba na mikopo kutoka wilaya za Kigoma, Kasulu na Kibondo wakifuatilia kwa
makini mada zilizokuwa zikitolewa kwenye mafunzo.
No comments:
Post a Comment