Msanii machachali Hussein Ramadhani a.k.a Vumbe wa Kigoma
mjini amekuja na Wimbo mkali kwa jina la "SIJAJUA" uliyorekodiwa
katika Studio za UB Rec chini ya Producer
Yuddy ndipo ulipotengenezwa wimbo huo.
Msanii Vumbe
Shime wanakigoma wote tumpe sapoti Msanii wetu VUMBE kwa
mawasiliano piga simu; +255718 755 011, E-mail; ramadhanh66@yahoo.com
Download track & player
No comments:
Post a Comment