Mkuu wa Mkoa Kigoma Issa Machibya (wa pili kulia) akipata maelezo ya matumizi ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango kutoka kwa Mratibu wa Kanda ya Ziwa wa Shirika la Marie Stopes Tanzania Agnes Mpanza (kushoto) wakati wa uzinduzi wa huduma za mkoba za uzazi wa mpango na upimaji wa hiari wa VVU utakaokuwa ukitekelezwa na shirika hilo kwa kipindi cha miaka minne mkoani Kigoma.
No comments:
Post a Comment