Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno (kushoto)
akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku tatu ya Maadili ya Uandishi wa
Habari kwa ajili ya waandishi wa Kigoma Press Club yanayofanyika mjini Kigoma
kwa uratibu wa Baraza la Habari Tanzania
(MCT).
Katikati ni Mwenyekiti wa Mafunzo, Prosper Kwigize na wa
kwanza kulia ni mmoja wa wakufunzi wa mafunzo hayo, Rose Mwalongo.
No comments:
Post a Comment