Karibu kwenye Blog ya Kijamii ya Kigoma yetu kwa habari na matangazo kwa bei nafuu sana. Tunakalibisha maoni, ushauri na habari zako ili tuijenge Tanzania kwa pamoja.

Monday, July 16, 2012

Wasanii waanza kuwasili Kigoma kwa Tamasha la kesho la Leka Dutigite

Wasanii mbalimbali waliyoshiriki katika umoja wa Kigoma All Stars na waliyoimba wimbo wa Leka Dutigite wameanza kuingia kigoma tangu asubuhi ya leo na Ndege ya Shirika la Procession Air na wa mwisho wataingia kesho asubuhi saa nne.

Wasanii watakaoshiriki katika Tamasha hilo ni Diamond, Mwasiti, Ommy dimpoz, Linex, Baba Levo, Recho, Peter Msechu, Banana, Makomando na wengine wengi bila kumsahau Mh. Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini.


Uskose katika Viwanja vya Lake Tanganyika na kiingilio ni bureeeeeeeeeeeeeeee.....

KIGOMA- LEKA DUTIGITE

No comments: