Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal akitoa heshima za mwisho kwa
marehemu Regia Mtema katika Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam kabla ya
kusafirishwa kwenda Ifakara mkoani Morogoro kwa maziko.
Hii ndiyo safari ya mwisho ya Mh.Regina Mtema hapa Duniani. Mungu amuweke mahali pema peponi, Ameni.Bwana alitoa na sasa ametwaa jina lake libarikiwe.
No comments:
Post a Comment