Askari Polisi wakimtafuta mfugaji wa jamii ya Kimasai wa Kijiji cha Parakuyo, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayetuhumiwa kumwoa ndoa ya kimila mwanafunzi wa kidato cha kwanza wa Shule ya Sekondari ya Parakuyo mwenye umri wa miaka 14. Polisi waliendesha msako huo hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment