Wizara ya mambo ya ndani ya nchi inasema kwa sasa inawasaili watu hao kubaini wakimbizi wa kweli.
Kumekuwa na imani kuwa licha ya madai ya baadhi yao kukimbia vita maeneo ya Musisi na mengine kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wapo wanaokimbia tu makali ya maisha.
Nyarugusu ni kituo cha muda kwa wakimbizi wanaojiandaa kurejea makwao, na hivi sasa kinahifadhi wakimbizi 61,000 wakitunzwa kwa ushirikiano wa serikali na shirika la kimataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.
No comments:
Post a Comment