Karibu kwenye Blog ya Kijamii ya Kigoma yetu kwa habari na matangazo kwa bei nafuu sana. Tunakalibisha maoni, ushauri na habari zako ili tuijenge Tanzania kwa pamoja.

Saturday, December 10, 2011

Mama Maria Nyerere akitunukiwa Nishani ya Heshima na Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete akimtunuku Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwakilishi wa Baba wa Taifa, hayati Julius Kambarage Nyerere, Mama Maria Nyerere wakati wa sherehe ya kutunuku nishani iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam.

No comments: