Karibu kwenye Blog ya Kijamii ya Kigoma yetu kwa habari na matangazo kwa bei nafuu sana. Tunakalibisha maoni, ushauri na habari zako ili tuijenge Tanzania kwa pamoja.

Saturday, September 10, 2011

Waruumiwa wa Dawa za kulevya Mahakamani

Raia wa Iran, Ali Mirzaei Pirbaksh (kushoto) na Watanzania wanne, Abdul Mtumwa (wa pili kushoto) akifuatiwa na Aziz Juma, Said Mashaka na Hamidu Kitwana wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kusomewa mashitaka ya kukutwa na Kilo 97 za dawa za kulevya aina ya Heroine eneo la Africana Mbuyuni Dar es Salaam.

No comments: