Wafanyakazi wa kampuni zinazofanya shughuli za kitalii za Afrika ya Kusini wakipokewa kwa heshima na gwaride la Wamasai baada ya kuwasili kwenye hoteli ya Blue Bay Beach Resort, Kiwengwa Zanzibar ambapo walipata fursa ya kukagua hoteli hiyo na kuridhika kuwa Zanzibar ina uwezo mkubwa wa kupokea idadi kubwa ya watalii kwa wakati mmoja.
No comments:
Post a Comment