Kombe hili ni Zawadi kwa Wanakigoma wote waishio popote Nchi nzima na nje ya Tanzania, hakika Mkoa wa Kigoma (Brazil ya Bongo) umejaariwa Vipaji vingi vya Michezo na Musiki pia.
Tunatoa wito kwa Serikali na TFF wawachukue Vijana hawa na kuwaweka kambini ili kuwaendeleza katika Soka zaidi kwani wanavipaji vilivyo tukuka.
Hongereni sana Vijana wa Timu ya Kigoma kwenye michuano ya Copa Coca Cola kwa kuiletea heshima kubwa Mkoa wa Kigoma.
No comments:
Post a Comment